Rukia maudhui
Mhubiri 11:4-5

Kuahirisha Huzuia Maendeleo

Mhubiri 11:4-5
4
Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.
5
Kama vile usivyofahamu njia ya upepo, au jinsi mwili uumbwavyo ndani ya tumbo la mama, vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu, Muumba wa vitu vyote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options