Rukia maudhui
Mhubiri 11:1-3

Ukarimu na Uwekezaji wa Hekima

Mhubiri 11:1-3
1
Tupa mkate wako juu ya maji, kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.
2
Wape sehemu watu saba, naam hata wanane, kwa maana hujui ni baa gani litakalokuwa juu ya nchi.
3
Kama mawingu yamejaa maji, hunyesha mvua juu ya nchi. Kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, mahali ulipoangukia, hapo ndipo utakapolala.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options