Rukia maudhui
Kumbukumbu 6:4-9

Shema

Kumbukumbu 6:4-9
4
Sikia, ee Israeli: Bwana Mungu wako, Bwana ni mmoja.
5
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.
6
Amri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako.
7
Wafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo.
8
Zifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako.
9
Ziandike kwenye miimo ya milango ya nyumba yako na juu ya malango yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options