Rukia maudhui
Kumbukumbu 32:1-4

Mwito na Utangulizi wa Wimbo

Kumbukumbu 32:1-4
1
Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema; sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.
2
Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua, na maneno yangu na yashuke kama umande, kama manyunyu juu ya majani mabichi, kama mvua tele juu ya mimea myororo.
3
Nitalitangaza jina la Bwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!
4
Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu, njia zake zote ni haki. Mungu mwaminifu ambaye hakosei, yeye ni mnyofu na mwenye haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options