Rukia maudhui
Kumbukumbu 32:1-3

Kumbukumbu 32:1-3

1
Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema; sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.
2
Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua, na maneno yangu na yashuke kama umande, kama manyunyu juu ya majani mabichi, kama mvua tele juu ya mimea myororo.
3
Nitalitangaza jina la Bwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options