Skip to content
Kumbukumbu 32:1-4

Kumbukumbu 32:1-4

1
Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema; sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.
2
Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua, na maneno yangu na yashuke kama umande, kama manyunyu juu ya majani mabichi, kama mvua tele juu ya mimea myororo.
3
Nitalitangaza jina la Bwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!
4
Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu, njia zake zote ni haki. Mungu mwaminifu ambaye hakosei, yeye ni mnyofu na mwenye haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options