Rukia maudhui
Danieli 9:1-2

Danieli Anachunguza Unabii wa Yeremia

Danieli 9:1-2
1
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario mwana wa Ahasuero (mzaliwa wa Umedi), ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa Babeli,
2
katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mimi Danieli nilielewa kutokana na Maandiko, kulingana na neno la Bwana alilopewa nabii Yeremia, kwamba ukiwa wa Yerusalemu ungetimizwa kwa miaka sabini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options