Rukia maudhui
Danieli 8:1-2

Maono Huko Shushani

Danieli 8:1-2
1
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza, mimi Danieli, nilipata maono, baada ya maono ambayo yalikuwa yamenitokea mbeleni.
2
Katika maono yangu, nilijiona nikiwa ndani ya ngome ya Shushani katika jimbo la Elamu. Katika maono nilikuwa kando ya Mto Ulai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options