Skip to content
Wakolosai 3:20-21

Wakolosai 3:20-21

20
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
21
Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options