Rukia maudhui
Amosi 5:16-17

Maombolezo Makuu Yanakuja

Amosi 5:16-17
16
Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, asemalo: “Kutakuwepo maombolezo katika barabara zote na vilio vya uchungu katika njia kuu zote. Wakulima wataitwa kuja kulia, na waombolezaji waje kuomboleza.
17
Kutakuwepo kuomboleza katika mashamba yote ya mizabibu, kwa kuwa nitapita katikati yenu,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options