Rukia maudhui
Amosi 1:11-12

Hukumu Dhidi ya Edomu

Amosi 1:11-12
11
Hili ndilo Bwana asemalo: “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga, alikataa kuonyesha huruma yoyote, kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.
12
Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options