Skip to content
Amosi 1:13-15

Amosi 1:13-15

13
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Amoni, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi ili kuongeza mipaka yake.
14
Nitatuma moto kwenye kuta za Raba ambao utateketeza ngome zake katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano, katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.
15
Mfalme wake atakwenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options