Rukia maudhui
Matendo 21:15-17

Kufika Yerusalemu

Matendo 21:15-17
15
Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.
16
Baadhi ya wanafunzi kutoka Kaisaria wakafuatana nasi na kutupeleka nyumbani kwa Mnasoni, ambaye tungekaa kwake. Yeye alikuwa mtu wa Kipro, mmoja wa wanafunzi wa zamani.
17
Tulipofika Yerusalemu ndugu wakatukaribisha kwa furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options