Rukia maudhui
Matendo 10:17-20

Matendo 10:17-20

17
Wakati Petro akiwa bado anajiuliza kuhusu maana ya maono haya, wale watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakaipata nyumba ya Simoni mtengenezaji wa ngozi wakawa wamesimama mbele ya lango.
18
Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.
19
Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta.
20
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options