Rukia maudhui
Matendo 10:11-13

Matendo 10:11-13

11
Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne.
12
Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani.
13
Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options