2 Timotheo 4:19-22
19
Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.
20
Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.
21
Jitahidi ufike huku kabla ya majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.
22
Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.
Settings