Rukia maudhui
2 Wathesalonike 3:16-18

Baraka na Salamu za Mwisho

2 Wathesalonike 3:16-18
16
Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.
17
Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote. Hivi ndivyo niandikavyo.
18
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options