Skip to content
1 Timotheo 1:1-2

1 Timotheo 1:1-2

1
Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.
2
Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options