Rukia maudhui
2 Wathesalonike 1:1-2

Salamu na Maamkiano ya Kitume

2 Wathesalonike 1:1-2
1
Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
2
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options