Skip to content
2 Samweli 22:40-43

2 Samweli 22:40-43

40
Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
41
Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
42
Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
43
Niliwaponda kama mavumbi ya nchi; niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options