Rukia maudhui
2 Samweli 11:26-27

Matokeo na Hasira ya Mungu

2 Samweli 11:26-27
26
Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.
27
Baada ya muda wa maombolezo kwisha, Daudi akamtaka aletwe nyumbani kwake, naye akawa mkewe, na akamzalia mwana. Lakini jambo alilokuwa amefanya Daudi lilimchukiza Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options