Rukia maudhui
2 Wafalme 2:9-10

2 Wafalme 2:9-10

9
Walipokwisha kuvuka, Eliya akamwambia Elisha, “Niambie, nikufanyie nini kabla sijaondolewa kutoka kwako?” Elisha akajibu, “Naomba nirithi sehemu maradufu ya roho yako.”
10
Eliya akasema, “Umeomba jambo gumu. Lakini kama utaniona wakati ninapoondolewa kutoka kwako litakuwa lako. La sivyo, hautalipata.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options