Rukia maudhui
2 Nyakati 9:29-31

Mwisho wa utawala wa Sulemani

2 Nyakati 9:29-31
29
Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Nathani, katika unabii wa Ahiya Mshiloni na katika maono ya Ido mwonaji kuhusu Yeroboamu mwana wa Nebati?
30
Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.
31
Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options