Rukia maudhui
2 Nyakati 34:1-2

Yosia Anaanza Utawala Wake wa Haki

2 Nyakati 34:1-2
1
Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja.
2
Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options