Skip to content
2 Nyakati 11:2-4

2 Nyakati 11:2-4

2
Lakini neno hili la Bwana likamjia Shemaya mtu wa Mungu:
3
“Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na Israeli wote walioko Yuda na Benyamini,
4
‘Hili ndilo asemalo Bwana: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’ ” Kwa hiyo wakalitii neno la Bwana na wakaacha kwenda kupigana dhidi ya Yeroboamu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options