Rukia maudhui
1 Timotheo 2:11-14

1 Timotheo 2:11-14

11
Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote.
12
Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya.
13
Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
14
Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options