Rukia maudhui
1 Wathesalonike 5:5-7

1 Wathesalonike 5:5-7

5
Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku.
6
Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
7
Kwa kuwa wote walalao hulala usiku na wale walewao hulewa usiku.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options