Rukia maudhui
1 Samweli 10:26-27

Mapokezi ya Awali ya Mfalme

1 Samweli 10:26-27
26
Sauli pia akaenda nyumbani kwake huko Gibea, akisindikizwa na watu hodari ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao.
27
Lakini baadhi ya watu wakorofi walisema, “Huyu mtu atawezaje kutuokoa?” Wakamdharau na wala hawakumletea zawadi. Lakini Sauli akanyamaza kimya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options