Rukia maudhui
1 Petro 1:22-25

Upendo wa Bidii na Neno la Milele

1 Petro 1:22-25
22
Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
23
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele.
24
Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
25
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options