Rukia maudhui
1 Wakorintho 7:10-11

Amri kuhusu Ndoa ya Kikristo

1 Wakorintho 7:10-11
10
Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi ila ni Bwana): Mke asitengane na mumewe.
11
Lakini akitengana, ni lazima akae bila kuolewa, ama sivyo apatane tena na mumewe. Wala mume asimpe mkewe talaka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options