Rukia maudhui
1 Wakorintho 4:6-7

Onyo Dhidi ya Kiburi na Kujisifu

1 Wakorintho 4:6-7
6
Basi ndugu zangu, mambo haya nimeyafanya kwangu binafsi na Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao, “Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mwingine.
7
Kwa maana ni nani aliyewafanya kuwa tofauti na wengine? Ni nini mlicho nacho ambacho hamkupokea? Nanyi kama mlipokea, kwa nini mnajivuna kama vile hamkupokea?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options