Skip to content
1 Wakorintho 4:14-16

1 Wakorintho 4:14-16

14
Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa.
15
Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili.
16
Basi nawasihi igeni mfano wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options