Rukia maudhui
1 Wakorintho 15:41-42

1 Wakorintho 15:41-42

41
Jua lina fahari ya aina moja, mwezi nao una fahari yake na nyota pia, nazo nyota hutofautiana katika fahari.
42
Hivyo ndivyo itakavyokuwa wakati wa ufufuo wa wafu. Ule mwili wa kuharibika uliopandwa, utafufuliwa usioharibika,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options