Rukia maudhui
1 Wakorintho 15:17-19

1 Wakorintho 15:17-19

17
Tena kama Kristo hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu.
18
Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea.
19
Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili kuhurumiwa kuliko watu wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options