Rukia maudhui
1 Wakorintho 14:34-36

Maagizo kwa Wanawake Katika Kusanyiko

1 Wakorintho 14:34-36
34
wanawake wanapaswa kuwa kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali wanyenyekee kama sheria isemavyo.
35
Kama wakitaka kuuliza kuhusu jambo lolote, wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
36
Je, neno la Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options