1 Wakorintho 14:37-40
37
Kama mtu yeyote akidhani kwamba yeye ni nabii, au ana karama za rohoni, basi na akubali kwamba haya ninayoandika ni maagizo kutoka kwa Bwana.
38
Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.
39
Kwa hiyo ndugu zangu, takeni sana kutoa unabii na msikataze watu kusema kwa lugha.
40
Lakini kila kitu kitendeke kwa heshima na kwa utaratibu.
Settings