Rukia maudhui
1 Wakorintho 13:1-2

1 Wakorintho 13:1-2

1
Hata kama nitasema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa kengele inayolialia au toazi livumalo.
2
Ningekuwa na karama ya unabii na kujua siri zote na maarifa yote, hata kama nina imani kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options