Skip to content
1 Wakorintho 13:4-7

Sifa za Pekee za Upendo

1 Wakorintho 13:4-7
4
Upendo huvumilia, upendo hufadhili, upendo hauoni wivu, hauna majivuno, hauna kiburi.
5
Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
6
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
7
Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options