Rukia maudhui
1 Nyakati 9:14-16

Walawi na huduma ya hekaluni

1 Nyakati 9:14-16
14
Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
15
Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
16
Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options