Skip to content
1 Nyakati 8:1-2

1 Nyakati 8:1-2

1
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options