Skip to content
1 Nyakati 6:33-47

1 Nyakati 6:33-47

33
Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
34
mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
35
mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
36
mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
37
mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
38
mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
39
na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
40
mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
41
mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
42
mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
43
mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
44
Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
45
mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
46
mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
47
mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options