Rukia maudhui
1 Nyakati 1:8-16

Wazao wa Hamu

1 Nyakati 1:8-16
8
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15
Wahivi, Waariki, Wasini,
16
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options