Rukia maudhui

Zaburi134

Wito kwa Watumishi wa Hekalu

1
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.

Baraka ya Mungu Kutoka Sayuni

3
Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Use arrow keys to navigate
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options