Rukia maudhui

Zaburi117

Wito wa Kumsifu Mungu Ulimwenguni

1
Msifuni Bwana, enyi mataifa yote; mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2
Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu, uaminifu wa Bwana unadumu milele. Msifuni Bwana.
Use arrow keys to navigate
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options