Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Zair

1 mstari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Basi Yehoramu akaenda Sairi pamoja na magari yake yote ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu. Hata hivyo, jeshi lake likatorokea nyumbani mwao.