Mistari ya Biblia kuhusu Walking with God: Not after the flesh, but after the Spirit
Mistari kuhusu Not after the flesh, but after the Spirit
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.
Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.