Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Uzza

6 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Manase akalala pamoja na baba zake na akazikwa katika bustani ya jumba lake la kifalme, katika bustani ya Uza. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

  2. Akazikwa kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza. Naye Yosia mwanawe akawa mfalme baada yake.

  3. Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,

  4. Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

  5. wazao wa Uza, Pasea, Besai,

  6. wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,