Mistari ya Biblia kuhusu Tents: Ease and rapidity of their removal, alluded to
Mistari kuhusu Ease and rapidity of their removal, alluded to
Kama hema la mchunga mifugo, nyumba yangu imebomolewa na kutwaliwa kutoka kwangu. Kama mfumaji nimevingirisha maisha yangu, naye amenikatilia mbali kutoka kitanda cha mfumi. Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.