Mistari ya Biblia kuhusu Shuah: 1. Son of Abraham by his wife, or concubine, Keturah
Mistari kuhusu 1. Son of Abraham by his wife, or concubine, Keturah
Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.