Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Shaaraim: 1. A city of Judah, called Sharaim

2 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu 1. A city of Judah, called Sharaim

  1. Shaaraimu, Adithaimu na Gedera (au Gederothaimu); yote ni miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.

  2. Ndipo watu wa Israeli na Yuda wakainuka kwenda mbele wakipiga kelele na kufuatia Wafilisti mpaka kwenye ingilio la Gathi kwenye malango ya Ekroni. Maiti zao zilitawanyika kando ya barabara ya Shaaraimu hadi Gathi na Ekroni.